Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara ya
Maliasili na Utalii,Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (NAOT),
Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), Halmashauri ya Manispaa ya
Bukoba, Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda, Halmashauri ya Wilaya ya Ileje,
Halmashauri ya Wilaya ya Newala, Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa na
Halmashauri ya Wilaya ya Busega, anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa
Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi wazi za kazi 34 kama
zilivyoainishwa katika tangazo hili;-
Saturday, May 9, 2020
Home »
» NAFASI MBALIMBALI ZA AJIRA SEREKALI
NAFASI MBALIMBALI ZA AJIRA SEREKALI
Katibu wa Sekretarieti ya Ajira Katika Utumishi wa Umma kwa niaba ya Wizara ya
Maliasili na Utalii,Mkaguzi na Mdhibiti Mkuu wa Hesabu za Serikali (NAOT),
Taasisi ya Utafiti wa Kilimo Tanzania (TARI), Halmashauri ya Manispaa ya
Bukoba, Halmashauri ya Wilaya ya Mpanda, Halmashauri ya Wilaya ya Ileje,
Halmashauri ya Wilaya ya Newala, Halmashauri ya Wilaya ya Mpwapwa na
Halmashauri ya Wilaya ya Busega, anakaribisha maombi ya kazi kutoka kwa
Watanzania wenye sifa na uwezo wa kujaza nafasi wazi za kazi 34 kama
zilivyoainishwa katika tangazo hili;-






0 comments:
Post a Comment